Dec 7, 2010
JISIKIE VIZURI JINSI ULIVYO........
Kila mtu, mnene au mwembamba alishawahi kwa kipindi fulani kujifeel negatively kuhusu miili yao. Njia rahisi ya kujisikia vizuri kuhusu mwili wako ni kuhakikisha kwamba unakuwa mtanashati kwa kiwango cha juu unachoweza. sio unatoka wako umesahau kunawa uso, umesahau kupiga pasi nk.
Mambo ya kuzingatia:
1. Unatakiwa kujiambia kila siku unapojitazama kwenye kioo kuwa hicho unachoona ni kizuri na utaendelea kukiboresha. hakikisha umependeza, unanukia vizuri kama ni mwanaume kaka una bashasha na bibie full mashamsham hapo toka elekea kwenye shughuli zako hakika utakuwa unajisikia vizuri.
2. Rome haikujengwa kwa siku moja!! kama una kilo 101 ukipunguza nusu jisifie ona hayo ni mafanikio sio una kilo 101 unataka ulale uamke ufanane na shoga yako mwenye kilo 51. jipongeze kwa kila hatua ndogo unayo piga na usikate tamaa.
3. Hakikisha unakula mlo sahihi unaoendana na matakwa yako, kama unataka kupunguza uzito basi hakikisha unakula mlo sahihi.
4. Kujiremba.
-Hakikisha unapotoka kwako asubuhi umejiremba, usoni namaanisha.
-Hakikisha nyele zako ziko vizuri, tafuta mionekano mipya ya nywele, jaribu style mpya za nyele sio unatutokea kwako na mibutu au minywele imeota kama saluni huzioni vile.
-Vaa nguo inayoendena na rangi yako na mwili wako sio ujipige mimake-up ya ukweli,nywele unaeleweka halafu nguo unatuvalia
mazwazwa...piga pamba unayokufanya utoke.
-Vaa viatu vinavyokufanya uonekane smart.
Dec 6, 2010
PAMOJA TENA......
kwanza niwaombe radhi wadau wote wa blog hii kwa kutoweka kwa muda mrefu lakini yote hiyo ni kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu.
sasa tupo pamoja tena
nawapenda.
sasa tupo pamoja tena
nawapenda.
May 17, 2010
May 13, 2010
Exercise for pregnant woman
If you were to see a pregnant woman exercising in your gym, would you be shocked or would you barely notice her? The response from many people is surprise. Isn't it harmful for the baby? The truth is; pregnant women can exercise and should exercise throughout their pregnancy. They just need to take certain precautions. For instance, when performing aerobics, a pregnant woman's heartrate should never go above 130-140 beats per minute. If it does, you need to cool down. It is dangerous to your baby for you to overheat. A pregnant woman also needs to concentrate on her breathing. If you need to hold your breath when doing something, then you are doing too much and are over-exerting yourself. If you have been exercising both with weights and aerobics, you can continue to do so in moderation. But if you have not been exercising, it is not recommended that you begin a new program. If your doctor feels it is alright, then use light or no weights and keep aerobics to just walking. By exercising throughout your pregnancy, you are helping yourself to a better, healthier life and a less intense labor experience.
GOOD EXERCISES FOR PREGNANT WOMEN
1. Any sitting exercise machine. Such as;
lat pulldown (back)
cable curls (biceps)
lateral raise (shoulders)
triceps extensions
leg extensions (quadriceps)
seated leg curl (hamstrings)
seated calf raise
cable crossovers (chest)
2. Use low weight with high reps. Try to perform between 12-15 repetitions in 2-3 sets each. If the last few reps are difficult, you will need to lower the weight.
3. It is not a good idea to do abdominal work after the first trimester. Especially on your back.
WORKOUT TIPS FOR PREGNANT WOMEN
1. Drink plenty of water before, during and after your workout. Your baby needs the fluids.
2. Remember to breathe. If you hold your breath for more than a few seconds, you are doing too much and your baby loses precious oxygen.
3. After the first trimester, do NOT do any exercises that require you to be on your back. It puts too much pressure on your organs and the growing fetus.
4. Do NOT perform squats. It can cause the separation of the placenta from the uterus.
5. Perform each exercise slow and fluidly. Do not make any jerky movements.
May 12, 2010
PAMOJA TENA..........
Subscribe to:
Posts (Atom)








