Kocha wa Tanzania Jamhuri Kiwhelu amesema kuwa Timu yake ilicheza vizuri licha ya kufungwa bao hilo la penati.
Dec 20, 2010
serengeti boys yachapwa 1-0
Kocha wa Tanzania Jamhuri Kiwhelu amesema kuwa Timu yake ilicheza vizuri licha ya kufungwa bao hilo la penati.
Dec 17, 2010
Kobe na kumbukumbu za alikotoka..
Kocha Downer bado anafundisha timu ya shule ile ile ambayo alisoma Kobe inayojulikana kwa jina la Merion High School iliyopo Philadelphia.
Kwa kuonyesha shukurani zake kwa kocha wake huyo Kobe anatarajia kutembelea shule hiyo Alhamisi ijayo kuhudhuria sherehe kwenye gym ambayo wameipa jina lake. Kobe ameahidi kiasi cha $411,000 kwa ajili ya maendeleo ya elimu na michezo katika shule hiyo.
Dec 16, 2010
Mhhhhhhhhh...
Forlan apewa Adidas Golden Ball
Mshambuliaji Diego Forlan wa Uruguay amekabidhiwa rasmi tuzo ya mchezaji bora wa Kombe la Dunia inayoitwa Adidas Golden Ball baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora katika Fainali za Kombe la Dunia zilizomalizika nchini Afrika Kusini.
Forlan alikabidhiwa tuzo hiyo na mchezaji mkongwe wa soka Franz Beckenbauer katika sherehe iliyofanyika nchini Ujerumani.
Dec 15, 2010
Dec 14, 2010
Dec 8, 2010
HII KALI....

Ingekuwa poa kweli kama magorofa kama haya yangejengwa karibu na Neshno stadium, tungekuwa hatuna tabu ya kulipa miviingilio....
Subscribe to:
Posts (Atom)




