Nov 29, 2012

MADHARA YA UTUMIAJI WA MIRUNGI (khat)

 
Matatizo na madhara ya Mirungi yaligunduliwa mwanzo katika mwaka 1935 na League Of Nations, Mwaka 1970 taasisi ya tiba ikaitenga madhara ya cathinone yanayopatikana katika Mirungi ambayo kikemikali inafanana na amphetamine, na hivyo katika mwaka 1971 ikaorodheshwa na United Nation kuwa ni miongoni mwa madawa ya kulevya.
 
mirungi

 
Utumiaji wa Mirungi husababisha madhara mbalimbali kiafya kama:
  1. Magonjwa ya vidonda vya tumbo (ulcers)
  2. Ukosefu wa haja kubwa (constipation)
  3. Utumiaji wa muda mrefu husababisha kuharibu utendaji kazi wa ini, na pia kusababisha ubadilikaji rangi meno, kudhoofika, na fizi kuuma na harufu ya mdomo
  4. Upungufu wa msukumo wa kufanya jimaa (sex drive). Na pia kuwahi kumaliza haraka na kutoweza kudumu kwenye tendo la ndoa kwa muda mrefu;
  5. Kupatwa na ugonjwa wa futuru/futuri/bawasiri/baasili – nyama inaoota kwenye utupu wa nyuma
  6. Upungufu wa usingizi
  7. Humpelekea mlaji kutawaliwa nayo (Addiction)
  8. Walaji wengi huvuta na sigara, hata yule aliyekuwa havuti kabla ya kuanza kula Mirungi, hujikuta akizama kwenye uvutaji, na madhara huwa maradufu

 
mirungi
 
mirungi hujulikana pia kwa majina mbalimbali kama vile gomba, shamba, miraa, khat na kadhalika

Nov 27, 2012

sharo milionea afariki dunia...

Habari zilizoifikia blog ya cheyfitness hivi punde zinaripoti kwamba Msanii-Muigizaji wa filamu na mchekeshaji nchini maarufu kwa jina la "Sharo Milionea" amefariki dunia kwa ajali mbaya ya gari iliyotokea huko Lusanga, Muheza mkoani Tanga majira ya saa  2 usiku jana,

     Hussein Mkiety aka sharo milionea
 
Uongozi wa Blog ya cheyfitness unatoa pole kwa ndugu,jamaa, marafiki na watanzania wote kwa ujumla

Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi....Amen.

Nov 26, 2012

FAIDA ZA SABUNI YA LIWA (sandalwood soap)

historia ya matumizi ya mti wa liwa katika kuboresha na kuipa afya ngozi inaanzia zamani sana katika nchi za Egypt, China na India...kwa miaka mingi sana inajulikana kwa uwezo wake wa kuboresha ngozi na kuipa afya...liwa imeweza kutengenezwa katika mionekano mbalimbali kama mafuta, maji ya liwa na sabuni....
 
kwa wale ambao hawajawahi kuuona mti wa liwa ndio huu unakua mkubwa kabisaaaa
 

tukizungumzia sabuni ya liwa ambayo ina faida nyingi katika ngozi zetu ambazo ni:
i)  kulainisha ngozi
ii) kufanya ngozi iwe nyororo na yenye afya
iii)pia inasaidia kuondoa muwasho, harara, vipele na harufu mbaya

sabuni ya liwa


jamani hizi sabuni ni nzuri sana na zina saidia sana kama una vijimatatizo vya hapa na pale vya ngozi na unataka kuboresha ngozi yako basi jaribu kuogea sabuni ya liwa

NB: kama ukitumia liwa na ukiona inakuharibu ngozi badala ya kuipa afya acha kuitumia mara moja na umuone daktari

Nov 14, 2012

VITUKO MICHEZONI

 
 
huyu sijui atatua vipi jamani maana matairi ndio hayoooooo


 
huu ni mchezo gani jamani.....mmmh


Nov 13, 2012

nimerudi tena

habari zenu wapenzi wa blog hii,

nawaomba radhi kwa kupotea na kutokuandika kwa muda mrefu ni mambo yaliyokuwa nje ya uwezo wangu yaliyosababisha hali hiyo
lakini sasa nimerudi tena na nguvu mpya...
pamoja sana

karibuni tena

May 12, 2012

Greatest proffesional wrestler of all time

1. Hulk Hogan



Major Titles Held: 12

PWI Wrestler of the Year: 1987, 1991, 1994

The Hulkster ruled professional wrestling for two entire decades. Hogan’s marketability and appearances in movies and television helped turn the WWE into a billion dollar industry and paved the way for today’s high paid stars and elaborately produced shows. His in-ring ability; however left much to be desired, as he is widely regarded as a below average wrestler. Nevertheless Hogan rarely lost a match, even into his 50s.

2. Ric Flair



Major Titles Held: 16 (varies by source).

PWI Wrestler of the Year: 1981, 1984, 1985, 1986, 1989, 1992.

In short Ric Flair is wrestling. He has headlined every promotion he has ever been in from the 1970s to the early 2000s, winning multiple World Championships in each. Flair is legendary for being able to generate reactions from the crowd, with a mix of rule breaking and a flashy ring entrance.

3. Lou Thesz



Major Titles Held: 3

Longest Title duration (10 years)
Youngest Title Holder (Age 21)

A legend and innovator in the business, Thesz ascended the pro wrestling ranks in the 1930s and is generally credited for inventing many maneuvers. He was known as a “hooker” (a wrestler who used various legitimate moves to end matches with double crossing opponents who wouldn’t necessarily stick to the script). This ability along with a supremely fluid style allowed him to hold on to the title for over a decade while defeating all challengers.

Feb 7, 2012

uflexible......

mmh...

huu mkono.....

jamani....

speechless....

duuu...


haya mambo.....



utasema mdudu...

Jan 27, 2012

mama mbavu zangu...

mmh jamani.....


heeee...kazi ipo..


huyu jamaa alipona kweli?..


msela kaptura imekuwaje tena....


huu mpira utarushwa kweli...


haya sasa......twende kazi!!

Jan 19, 2012

Definition ya michezo..


najua wengi hamjui definition ya neno michezo:

Michezo ni amali au mazoezi ya kimwili ambayo mara nyingi yana upande wa mashindano na burudani ndani yake. Yanatendeka kufuatana na kawaida na taratibu maalumu zilizokubaliwa kati ya wachezaji au katika jamii.

kwa kidhungu ni:


Sport is all forms of physical activity which, through casual or organised participation, aim to use, maintain or improve physical fitness and provide entertainment to participants.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...