Feb 27, 2010

wanamichezo hawa.......!!!

hawa ni watanzania wanaosoma na waliosoma Algeria
cheki wanavyoitangaza vyema Tanzania kupitia michezo!!!



  hiyo C.E.E.A.B kwenye jezi isiwatishe hao ni wabongo tu.......



mimi naipenda hiyo jezi........ vive la Tanzanie!!


Feb 26, 2010

Hasheem Thabeet apelekwa D-league


Hasheem Thabeet amezichukulia vyema habari za kupelekwa kwake D-league. kama ulikuwa huna habari na ujue Timu ya Memphis Grizzlies imempeleka the number two pick from last year’s draft kwenda  NBDL au ‘D’ League kuongeza ujuzi.

hasheem alianguka kufikia nafasi ya tatu na alikua hapewi nafasi nyingi za kucheza. kwenye NBA kama huchezi mara nyingi ni vigumu kuimprove kwa sababu ya kukosa zile challenge za kimichezo.

NDIO MAANA'KE.....


nakubeba utufunge tutaelewena baadaye.....

weird and wacky ways to lose weight...!!

aina gani za diet za ajabu umeshawahi kujaribu? soma hizi......

The Sleeping Beauty Diet :
hapa ni kulala kwa muda mrefu zaidi ya kawaida, ujanja ni kwamba ukiwa umelala huli kwa hiyo ukilala mchana mzima hutakula mchana mzima na ukifanya hivyo kwa mwezi lazima utapungua.....mmh na sijui pesa utakuwa unatoa wapi.


The Tape Worm Diet :
(tahadhari ina madhara makubwa)
wapo minyoo wanauzwa, unawanunua kama vile dawa halafu unakunywa...agrrrrr...hawa wanaenda kula some unwanted mazagazaga huko ndani, lakini njia hii inasemekana kuwa ina madhara makubwa sana kama vile kichefuchefu kikali, maumivu ya kichwa, infection, kuhara na hata kifo.

hii ni moja ya tape worm diet pill

The Cotton Ball Diet :
unachukua bakuli lako lililojaa pamba na kuanza kula pamba yako ..... the theory behind this crazy diet ni kwamba pamba iko low kwenye calories hivyo unaweza jishibia pamba bila kunenepa.

unashangaaa...hata mimi..!!
duniani kuna mambo!!

Feb 24, 2010

Serena Williams in Kenya....

Serena kwenye vazi la khanga....



serena akicheza na wakinamama

SERENA KATIKA UFUNGUZI SHULE YA SEKONDARI
SERENA WILLIAMS SECONDARY SCHOOL






wanamichezo wetu nao wanatakiwa kuwa na moyo wa kujitolea kama ilivyo kwa wenzetu na tunawashukuru wanamichezo wote wenye moyo huo wote

TUJILINDE...........!!!!!

..jamani tulinde afya zetu usimwamini hata mpenzio pengine ameathirika......!!!
lakini hii kali....mmmmh!!

How to Eat Properly?

Here are the ways in which you can eat your food properly:
Eat slowly and chew properly:

When you eat slowly and chew properly, you can enjoy the taste and eat less food. Eating slowly is important because our body has a signaling system which tells the brain if it is full. However, eating quickly will disrupt this mechanism and you may overeat

Go for small servings:

Start with smaller portions of food and go for additional servings if needed. In this way, you would be able to choose if you need additional servings. Smaller portions also enable you to eat less by giving you an impression that you are eating more food

Avoid eating in front of television or computer:

When you while doing other activities, you may eat more food without realizing. Hence, avoid eating in front of television or computer, so that you can focus and enjoy the food you are eating

Eat from the plate, not the package:

Packages may contain large amounts of food and when you snack from them, you may clean up everything. Hence, eat from the plate to know the proper portion of the food

Feb 23, 2010

pozi za waogeleaji professional..!!












jamani ukitaka kuwa muogeleaji professional inabidi ujue na kutia hizi pozi....!!

Feb 22, 2010

gladiator za michezo....!!


jamani hizi gladiator ni za michezo au fashion tu...!!!

kazi kwelikweli..!

Public apology ya Tiger Woods yapokelewa kwa mtazamo tofauti


kujitokeza mbele ya hadhara kwa Tiger woods na kuomba msamaha juu ya tabia yake ya kutembea na mademu lukuki, achilia mbali kuwa ana mke na watoto, hatua hiyo imepokelewa kwa mtazamo tofauti wapo wanaosema kuwa alimaanisha maneno aliyosema wakati akiomba msamaha huo na wengine walisema kuwa hakuwa amemaanisha na kwamba hakuwa na hisia za mtu anayeomba msamaha alikuwa anaact tu na wengine walidiriki kusema kuwa " he still seems arrogant and will likely cheat again."




Feb 18, 2010

10 Most Embarrassing Moments at the Gym!!

Bring up the subject of embarrassing moments at the gym and it's amazing the stories you hear. It's clear that the gym is a prime spot for embarrassing moments. Sweaty people flailing around with large, heavy machinery sometimes has disastrous consequences.



1. Passing Gas
Picture it: You’re in a deadly quiet yoga class. You’re breathing, you’re downward dogging and - whoops - now you’re farting. Even worse, it’s loud enough to rip the fabric of the space-time continuum.

2. Falling off the Treadmill
Walk or run on any moving surface, such as a treadmill, and you increase your chances for a crash and burn. Factor in iPods, water bottles and towels and you add more tasks and objects that interfere with your ability to walk straight.

3. Gym Machine Confusion
The gym is a mysterious place, full of shiny machines that don’t make sense to the naked eye.Most of us have probably approached a new machine and started pushing buttons, only to find it won’t go.

4. Wardrobe Malfunction
Once I was running on the treadmill, feeling like a million bucks. I finished and walked away, wondering why people were staring at me. No, it wasn’t because I looked fabulous. Turns out the zipper on my sports bra came open, exposing more than I'd planned. I zipped up and fled, my face a blistering red.


5. Tripping, Slipping or Hurting Yourself
The gym is a prime spot for injury. Dangling cables, swinging handles and other metallic items make for an endless obstacle course. Add sweaty humans and it’s a wonder we ever make it through a workout


6. Throwing Up
Throwing up at the gym is more common than you think. Even when you know your body’s limits, sometimes you push too hard or you’re too rushed to give your stomach the digestion time it needs. If you feel lightheaded or nauseous, lie down and elevate your feet. If you do have to puke, a trashcan in a quiet corner works well.

7. Lifting Too Much Weight
Choosing the right amount of weight is tough and being at the gym makes us all more competitive. That can be a good thing – you push yourself harder than you would if were by yourself. It's a bad thing, however, when you choose a weight that's too heavy. You risk injury, embarrassment and a bad workout.
8. Sweating in Embarrassing Places
Sweating is normal when you're exercising, but some people worry they're sweating too much or get embarrassed if sweat stains show up in uncomfortable places. Sweating is your body's way of cooling itself and no one expects you to be fresh as a daisy at the gym. Sweat shows up everywhere - the armpits, chest, lower back and, yes, sometimes the groin or the rear end.

9. Seeing Your Boss Naked
If your gym is close to work, chances are you'll run into co-workers and, sometimes, this will happen in the locker room at the most inopportune time. It's awkward seeing a colleague, boss or friend in the buff but, if it does happen, there are ways to handle it that don't involve quitting or permanent trauma.

10. Realizing You Have Two Left Feet
The group fitness room can be a scary place if you're new to it. There are rows of people, hundreds of mirrors and the loud music makes it hard to hear the instructor. What's worse is trying a new class and slamming into other exercisers as you try to follow the moves.

hizi ni embarrassing moments za michezo!!


huyu mshikaji vipi...wenzie wameshikana viunoni..



...hii kali...


huyu jamaa mwenye njano ananitia wasiwasi.....



dada wa watu sijui alibanwa...




huyu dada hata hakuwa anasikia kaubaridi baridi....





..mmmhhhh...














MFUNGO MWEMA...!!

.
NAWATAKIA WAKRISTO WOTE MFUNGO MWEMA WA KWARESMA!!!
.

Health benefits of fasting

The online encyclopedia Wikipedia defines fasting as, "the act of willingly abstaining from some or all food and/or drink, for a period of time...Medical fasting can be a way to promote detoxification." Fasting is actually one of the oldest known medical practices used to treat all types of ailments. Even Hippocrates, the father of Western medicine, acknowledged the power of fasting. He believed the practice allowed the body to heal itself. In almost every known religion, fasting is used as a way to medically and spiritually heals one's self. Since fasting is such a widespread practice, you may wonder how such a practice that denies the body of food can be good for it. Here's how.

It is believed that many of the health benefits of fasting come from giving your digestive system a break from its work of breaking down foods. Through the practice of fasting, the digestive system also gets a break from combating the toxins that enter the body in the form of the highly processed foods that made up the majority of our modern diets. Since the body is not expending energy in the digestive process, this energy can be used for other purposes such as allowing the body to heal itself. Also, since the body's immune system is not busy fighting of bacteria and other toxins that enter the body through the foods we eat, the immune system can concentrate on healing what diseases and sicknesses in the body.

One of the most obvious health benefits of fasting is the detoxification this practice brings. Some believe fasting can not only allow cells to rid themselves of harmful toxins, and dead or diseased tissue, but can also rejuvenate the internal organs, allowing them to work more efficiently. Some doctors also claim fasting can help cure diseases such as cancer, lupus, arthritis, asthma, high blood pressure and allergies.

In addition to the detoxification benefits of fasting, this practice can also be used as a way to lose weight quickly. While it may seem fasting would be an ideal way to lose weight, be careful because the body had defense mechanisms which can cause this form of dieting to backfire. The first couple of days of your fast you will lose as much as 2 pounds per day, with most of the weight being water. After the initial fast weight loss, however, you will stop losing as quickly and your weight loss will slow to about ½ pound each day. The reason for this slowing down of the weight losing process is that after a few days of having no food, the body thinks there may be a chance it is starving. In an attempt for self preservation, the body will automatically readjust its metabolic rate to conserve energy and stored fats.

This is why staying on a fast too long just so you can lose weight is not a good idea. If you want to use fasting for weight loss it's best to follow a staggered plan of 1 or 2 days of fasting followed by 3 days of healthy eating.

Recorded since the beginning of time, fasting is a practice that has many benefits for the body. Not only does it give the body a chance to heal itself, it also cleans all the toxins and poisons from the body. The health benefits of fasting can leave you feeling more energized and more physically fit that ever before.

Feb 10, 2010

music is good for your Health!!!

Research has shown that music has a profound effect on your body and psyche. In fact, there’s a growing field of health care known as Music Therapy, which uses music to heal. Those who practice music therapy are finding a benefit in using music to help cancer patients, children with ADD, and others, and even hospitals are beginning to use music and music therapy to help with pain management, to help ward off depression, to promote movement, to calm patients, to ease muscle tension, and for many other benefits that music and music therapy can bring. This is not surprising, as music affects the body and mind in many powerful ways. The following are some of effects of music, which help to explain the effectiveness of music therapy:


  • Brain Waves: Research has shown that music with a strong beat can stimulate brainwaves to resonate in sync with the beat, with faster beats bringing sharper concentration and more alert thinking, and a slower tempo promoting a calm, meditative state. Also, research has found that the change in brainwave activity levels that music can bring can also enable the brain to shift speeds more easily on its own as needed, which means that music can bring lasting benefits to your state of mind, even after you’ve stopped listening.
  • Breathing and Heart Rate: With alterations in brainwaves comes changes in other bodily functions. Those governed by the autonomic nervous system, such as breathing and heart rate can also be altered by the changes music can bring. This can mean slower breathing, slower heart rate, and an activation of the relaxation response, among other things. This is why music and music therapy can help counteract or prevent the damaging effects of chronic stress, greatly promoting not only relaxation, but health.
  • State of Mind: Music can also be used to bring a more positive state of mind, helping to keep depression and anxiety at bay. This can help prevent the stress response from wreaking havoc on the body, and can help keep creativity and optimism levels higher, bringing many other benefits.
  • Other Benefits: Music has also been found to bring many other benefits, such as lowering blood pressure (which can also reduce the risk of stroke and other health problems over time), boost immunity, ease muscle tension, and more. With so many benefits and such profound physical effects, it’s no surprise that so many are seeing music as an important tool to help the body in staying (or becoming) healthy.

Feb 9, 2010

Right Shoes for jogging...!!!


The Jogging is one such exercise which involves the perfect shoes for the purpose because it is indeed all about the physical activity of the feet. There are certain important things that need to be taken care of, while deciding on the perfect jogging shoes.

When purchasing a pair of jogging shoes for the first time, your shoes should be able to meet several basic criteria. Some of the basic criteria include the following:

  • The upper should be made of leather with breathable materials, such as nylon mesh.
  • The tongue should be well-padded to prevent abrasion or irritation of the top of the foot.
  • For comfort, the toe box should be spacious to allow ample space for the toes.
  • Solid or carbon rubber outsoles are excellent.
  • The collar should be approximately an inch of rim and made of soft material. This will offer protection to the heel.
  • The achilles pad should not be too high, as this will cause irritation to the tendon,or cause blistering.
  • The midsole which is the principal shock -absorbing feature of the shoe should be made of polyurethethane to offer support and durability.
  • For extra stability and support of the heel counter, it is good to pick a shoe with external stabilizer.
  • Flared heels are good as this offer good support, and firm heel counter made of durable plastic placed in the heel, assist with stability.
  • Inner sole should be able to provide flexibility under barefoot.There should always be a separate shoe for the jogging purpose, and it should not be carried out with any other type of picnic shoes such as sneakers, tennis shoes, or even walking shoes, to avoid the long term use injuries to the foot, including the earlier signs such as blisters on the toes.

Feb 7, 2010

TIBA YA LISHE KWA WAGONJWA WA ANEMIA


Hakuna tiba bora kama chakula na kila ugonjwa una chakula chake kama tiba. Mgonjwa hulazimika kutumia dawa za hospitali pale hali inapokuwa mbaya na ugonjwa unapokuwa umefikia hali mbaya.

Hata hivyo, baada ya mgonjwa kujijua ugonjwa unaomsumbua, hupaswa kujua pia aina ya vyakula anavyopaswa kula au kuacha kula, ili kudhibiti tatizo na hatimaye kuliondoa kabisa mwilini.

Leo tunaangalia aina ya vyakula anavyopaswa kula mgonjwa wa Anemia aina zote, ukiwemo Sickle Cell (magonjwa ya kupungukiwa damu mwilini kutokana na sababu mbalimbali).

APPLEST
ufaha au kama linavyojulikana na wengi ‘Apple’ ni tunda muhimu sana kwa wagonjwa wa Anemia. Wanaosumbuliwa na ugonjwa huu, wanashauriwa kula epo 2 hadi 3 kwa kila siku. Tunda hili linaelezwa kusaidia kuongeza kiwango cha madini ya chuma mwilini ambayo huhitajika sana kwenye damu.

VITAMIN B12
Ulaji wa Vitamin B12 ni muhimu sana kwa kinga na tiba ya ugonjwa wa Anemia. Chanzo kikuu cha vitamini hii ni vyakula vitokanavyo na wanyama, hasa nyama ya maini na figo. Nyama hii ni miongoni mwa tiba bora kabisa za ugonjwa huu.

KAHAWA NA CHAI
Hili ndiyo jambo la kuzingatia sana, kwani ndipo ambapo wagonjwa wengi hufanya makosa. Mgonjwa wa Anemia au Siki Seli hatakiwa kunywa chai wala kahawa kwa sababu vinywaji hivi huwa ni kikwazo kwa ufanyaji kazi wa madini ya chuma mwilini.Unapokuwa mgonjwa wa wa maradhi hayo na ukawa unakunywa chai na kahawa kama kawaida, huwezi kuudhibiti ugonjwa vizuri na dawa utakazokuwa ukitumia hazitafanyakazi ipasavyo, kwa sababu itakuwa ni sawa na mtu anayelala kwenye chandaru kilichotoboka.

BEETS ROOTS
Beets Roots ni aina fulani ya viazi ambavyo vinajulikana pia kama viazi pori. Viazi hivi ni muhimu sana kwa tiba ya ugonjwa wa Anemia kwani vina protini na madini mengi kama vile potassium, phosphorus, calcium, sulphur, iodine, iron, copper, carbohydrates, protein, fat, na vitamin B1, B2, B6, C na P. kwa sababu hii, beets ni tiba nzuri sana ya asili.

MAJI BARIDI
Aidha, uogaji wa maji baridi nao ni sehmu ya tiba asilia ya Anemia. Mgonjwa anashauriwa kuoga maji baridi mara mbili kwa siku. Aidha, uogaji huku ukiwa juani nao husaidia uzalishaji wa Red Cells ambazo ni kiungo muhimu cha damu.

ASALI NA LIMAU
Asali pia imetajwa kuwa tiba nzuri kwa wagonjwa wa Anemia. Changanya asali na limau kiasi kidogo na kunywa asubuhi kabla hujala kitu chochote. Hii nayo ni miongoni mwa tiba bora asilia za ugonjwa huu. Halikadhalika tende zimetajwa kutibu Anemia.

MASSAGE
Ufanyaji wa masaji kila siku nao ni muhimu kwa mgonjwa Anemia, kwani husaidia kuweka juu kiwango cha damu wakati wote. Hii nayo ni moja ya tiba rahisi kabisa unayoweza kuifanya nyumbani kwako.

MWISHO,
Mazoezi mepesi ya kila siku na yale mazoezi ya kuvuta na kushusha pumzi nayo ni muhimu na husadia sana katika kuweka damu katika hali inayotakiwa. Mgonjwa wa Anemia na siko seli akiishi kwa staili ya kufuata maelekezo haya, anaweza asisumbuliwe sana na ugonjwa huo kwa maisha yake yote.
NDUGU MDAU MAKALA HII NIMEITOA KATIKA BLOG YA http://abdallahmrisho.blogspot.com/ UNAWEZA KUPITIA HUKO KWA MAUTAMU ZAIDI KUHUSU MAKALA MBALIMBALI ZA AFYA.

Feb 4, 2010

Kitambi "Beer Belly"

Mdau kama wewe ni mnywaji wa pombe unaweza kugundua kuwa tumbo lako limeanza kuwa kubwa au limeshakuwa kubwa kiasi cha kuning'inia. Kitambi ni tatizo linalotakea mara nyingi kwa wanaume pia hutokea kwa wanawake.

Jinsi nzuri ya kupunguza au kuondoa kabisa kitambini kupunguza kiasi cha Alcohol kinachoingia mwilini na kuanza kufanya mazoezi ya mara kwa mara. Beer ina kiwango cha juu sana cha calories ni ya pili ukiacha fat yenyewe.


Kama wazo la kuachana na kilevi linakuwia vigumu basi jaribu kutumia beer nyepesi ambayo ina kiwango cha chini cha calories ukilinganisha na beer ya kawaida.

Pia jaribu kupunguza kiwango chako cha unywaji, kunywa wakati wa weekend tu pamoja na kuwa na ulaji ulio na mpangilio na usisahau kufanya mazoezi ya mara kwa mara.

Feb 3, 2010

Mji mpya yang'aa Winome Cup

Timu ya soka ya Kata ya Mji Mpya juzi ilianza vizuri michuano ya Winome Salama Cup baada ya kuifunga kata ya Uwanja wa Taifa mabao 4-1 katika mchezo wa ufunguzi uliofanyika uwanja wa Jamhuri mjini hapa.

mji mpya ambayo ilionekana kujiamini na kuutawala mchezo huo, mabao yaliyowapa ushindi katika mechi hiyo yalifungwa na washambuliaji Juma Maboga na Keneth Emanuel ambao kila mmoja alifunga mabao mawili.

Unamkumbuka? SULEIMAN NYAMBUI

Suleimani Nyambui alizaliwa Februari 13, 1953, ni mkimbiaji mstaafu kutoka hapa Tanzania ambayealishinda:
  • Medali ya Shaba katika All-Africa Games mwaka 1978.
  • Medali ya Fedha katika mbio za mita 5,000katika Summer Olympics mwaka 1980.
  • Alishinda mara mbili Berlin Marathon mwaka 1987 na 1988.

Alihudhuria University of Texas at El Paso (UTEP) mwaka 1978-1982 ambapo alishinda mara nne 'titles' za NCAA (National Collegiate Athletic Association) kwenye mbio za mita 10,000 na mara tatu kwenye mita 5,000.

katika michezo ya Millrose iliyofanyika New York, Februari 1981 Nyambui alivunja rekodi ya dunia ya mbio za mita 5,000 kwa kukimbia kwa dakika 13:20.4

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...