Dec 21, 2010

semeni nyie....


....mauaji au game....semeni nyie mie hata maelezo nimekosa

Eto'o Mchezaji Bora wa Afrika


Eto'o ametajwa kuwa mchezaji bora wa afrika na kushinda tuzo hiyo kwa mara ya nne, Eto'o alishawahi kushinda tuzo hiyo 2003,2004 na 2005.

kwa kushinda tuzo hiyo mara nne Eto'o amewazidi wakongwe wa soka ambao walishawahi kushinda tuzo hiyo mara tatu wote wawili ambao ni Abedi Pele na George Weah.

Dec 20, 2010

ndio usongo au?


ndio usongo na huo mpira au......kuufata hadi kwenye meza ya watangazaji..!!!

serengeti boys yachapwa 1-0


Timu ya vijana ya Tanzania Serengeti Boys imepoteza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Rwanda katika mashindano madogo ya Cecafa U-17 yanayofanyika kwenye uwanja wa Amahoro.

Kocha wa Tanzania Jamhuri Kiwhelu amesema kuwa Timu yake ilicheza vizuri licha ya kufungwa bao hilo la penati.

Dec 17, 2010

Kobe na kumbukumbu za alikotoka..


kobe amemshukuru kocha wake wa High school Gregg Downer kwa kumfundisha mambo mengi ambayo yamemfanya awe na mafanikio aliyonayo leo

Kocha  Downer bado anafundisha timu ya shule ile ile ambayo alisoma Kobe inayojulikana kwa jina la Merion High School iliyopo Philadelphia.

Kwa kuonyesha shukurani zake kwa kocha wake huyo Kobe anatarajia kutembelea shule hiyo Alhamisi ijayo kuhudhuria sherehe kwenye gym ambayo wameipa jina lake. Kobe ameahidi kiasi cha $411,000 kwa ajili ya maendeleo ya elimu na michezo katika shule hiyo.

Dec 16, 2010

Mhhhhhhhhh...


hii ilitokea huko Bogota mwaka 1997 huyu bwana Manalo Beltran sijui alitoka hapo akiwa na hali gani maana hilo gombe lilimpania kweli...!!

Forlan apewa Adidas Golden Ball


Mshambuliaji Diego Forlan wa Uruguay amekabidhiwa rasmi tuzo ya mchezaji bora wa Kombe la Dunia inayoitwa Adidas Golden Ball baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora katika Fainali za Kombe la Dunia zilizomalizika nchini Afrika Kusini.

Forlan alikabidhiwa tuzo hiyo na mchezaji mkongwe wa soka Franz Beckenbauer katika sherehe iliyofanyika nchini Ujerumani.

Dec 15, 2010

..KISASI AU?




ouchhhh...
hawa jamaa wana bifu au hii ni ajali tu?

Dec 14, 2010

MTANGAZAJI AULA TFF..


Mtangazaji wa Kituo cha EATV, Jimmy Kabwe ameibuka kidedea katika mchakato wa kusaka Mkurugenzi wa Masoko wa TFF, Rais wa TFF Leodegar  Tenga amewaambia Waandishi wa Habari  kuwa Jimmy Kabwe ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Masoko wa TFF.

Dec 8, 2010

HII KALI....


Ingekuwa poa kweli kama magorofa kama haya yangejengwa karibu na Neshno stadium, tungekuwa hatuna tabu ya kulipa miviingilio....

Dec 7, 2010

JISIKIE VIZURI JINSI ULIVYO........


Kila mtu, mnene au mwembamba alishawahi kwa kipindi fulani kujifeel negatively kuhusu miili yao. Njia rahisi ya kujisikia vizuri kuhusu mwili wako ni kuhakikisha kwamba unakuwa mtanashati kwa kiwango cha juu unachoweza. sio unatoka wako umesahau kunawa uso, umesahau kupiga pasi nk.


Mambo ya kuzingatia:
1. Unatakiwa kujiambia kila siku unapojitazama kwenye kioo kuwa hicho unachoona ni kizuri na utaendelea kukiboresha. hakikisha umependeza, unanukia vizuri kama ni mwanaume kaka una bashasha na bibie full mashamsham hapo toka elekea kwenye shughuli zako hakika utakuwa unajisikia vizuri.

2. Rome haikujengwa kwa siku moja!! kama una kilo 101 ukipunguza nusu jisifie ona hayo ni mafanikio sio una kilo 101 unataka ulale uamke ufanane na shoga yako mwenye kilo 51. jipongeze kwa kila hatua ndogo unayo piga na usikate tamaa.

3. Hakikisha unakula mlo sahihi unaoendana na matakwa yako, kama unataka kupunguza uzito basi hakikisha unakula mlo sahihi.


4. Kujiremba.
-Hakikisha unapotoka kwako asubuhi umejiremba, usoni namaanisha.

-Hakikisha nyele zako ziko vizuri, tafuta mionekano mipya ya nywele, jaribu style mpya za nyele sio unatutokea kwako na  mibutu au minywele imeota kama saluni huzioni vile.

-Vaa nguo inayoendena na rangi yako na mwili wako sio ujipige mimake-up ya ukweli,nywele unaeleweka halafu nguo unatuvalia
 mazwazwa...piga pamba unayokufanya utoke.

 -Vaa viatu vinavyokufanya uonekane smart.

Dec 6, 2010

mmmh huu ulengaji....


makubwa
huyu mcheza golf mzima kweli kwa ulengaji huu akimaliza game si anaumwa kifua........

PAMOJA TENA......

kwanza niwaombe radhi wadau wote wa blog hii kwa kutoweka kwa muda mrefu lakini yote hiyo ni kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu.
sasa tupo pamoja tena
nawapenda.

May 17, 2010

siku 25 kuelekea kombe la dunia...!!


ni siku 25 tu zimebakia kuelekea Kombe la Dunia....mungu atuweke tuweze kushuhudia hizo mechi...!!

May 13, 2010

..la shavu...!!!


huyu jamaa sijui meno na ulimi vina hali gani huko ndani .....mmmmhhhhh!!

Exercise for pregnant woman


If you were to see a pregnant woman exercising in your gym, would you be shocked or would you barely notice her? The response from many people is surprise. Isn't it harmful for the baby? The truth is; pregnant women can exercise and should exercise throughout their pregnancy. They just need to take certain precautions. For instance, when performing aerobics, a pregnant woman's heartrate should never go above 130-140 beats per minute. If it does, you need to cool down. It is dangerous to your baby for you to overheat. A pregnant woman also needs to concentrate on her breathing. If you need to hold your breath when doing something, then you are doing too much and are over-exerting yourself. If you have been exercising both with weights and aerobics, you can continue to do so in moderation. But if you have not been exercising, it is not recommended that you begin a new program. If your doctor feels it is alright, then use light or no weights and keep aerobics to just walking. By exercising throughout your pregnancy, you are helping yourself to a better, healthier life and a less intense labor experience.
 
GOOD EXERCISES FOR PREGNANT WOMEN

1. Any sitting exercise machine. Such as;
   lat pulldown (back)
   cable curls (biceps)
   lateral raise (shoulders)
   triceps extensions
   leg extensions (quadriceps)
   seated leg curl (hamstrings)
   seated calf raise
   cable crossovers (chest)

2. Use low weight with high reps. Try to perform between 12-15 repetitions in 2-3 sets each. If the last few reps are difficult, you will need to lower the weight.

3. It is not a good idea to do abdominal work after the first trimester. Especially on your back.


WORKOUT TIPS FOR PREGNANT WOMEN

1. Drink plenty of water before, during and after your workout. Your baby needs the fluids.
2. Remember to breathe. If you hold your breath for more than a few seconds, you are doing too much and your baby loses precious oxygen.
3. After the first trimester, do NOT do any exercises that require you to be on your back. It puts too much pressure on your organs and the growing fetus.
4. Do NOT perform squats. It can cause the separation of the placenta from the uterus.
5. Perform each exercise slow and fluidly. Do not make any jerky movements.

May 12, 2010

PAMOJA TENA..........


Baada ya kutengana nanyi wadau wangu kwa takribani miezi miwili kwa sababu ambazo hazikuweza kuzuilika, leo kwa rehema na uweza wa Mwenyezi Mungu tuko pamoja tena kuendelea kupata habari na vituko vya michezo.

Mar 29, 2010

mafua ya nguruwe yalianzia hapa...!!!


inasemekana kuwa huyu mtoto ndio chanzo cha mafua ya nguruwe...!!
sijui nani alimtuma kwenda kuramba hilo gwezembu...!!

Mar 28, 2010

..hii ndumba au maluweluwe...!!

kuna zile story huwa tunasikia "kataka kudaka mpira kaona moto" sasa hapa sijui ndio kinachotokea?..."kataka kupiga mpira kaona paka". ulaya nao wamo!!

...why JABULANI..!!!




The upcoming 2010 world cup is being held in johannesburg, South Africa beginning this june. the adidas designed game ball was just unveiled and is named Jabulani, an isizulu word meaning to celebrate. The ball features 11 different colours chosen to represent the 11 players of each team and the 11 official languages and tribes of south africa. the design of the ball aims to evoke ‘african spirit’.

Mar 27, 2010

...tutafika kweli...?

uwanja una mti katikati ...hapa ukichoka unakula pozi kidogo kivulini....!!!

maana ya ZAKUMI..!!


Zakumi (born 16 June 1994  age 15,  is the Official Mascot for the 2010 FIFA World Cup. He is an anthropomorphised leopard with green hair, presented on 22 September 2008. His name comes from "ZA", the ISO 3166-1 alpha-2 code for South Africa, and "kumi", a word that means ten in various African languages.

Mar 19, 2010

...money mone money....!!


wachezaji wa kike wangekuwa wanavaa hivi wawapo kiwanjani hapa bongo mbona viwanja vingejaa na tungeingiza mihela...!!

anataka kuwa mnene kuliko wote duniani....!!!


mwanamama Danna Simpson anafanya kila analoweza kuhakikisha kuwa anakuwa mtu mnene kuliko wote duniani. hivi sasa ana pounds 600 anadai kuwa anataka kuingizwa kwenye Guinness Book of World Records kwa kuwa mwanamke mnene kuliko wote.






si tunatafuta kupunguza maunene mwenzetu ndio anayatafuta...jamani!!

Mar 15, 2010

.....kuch kuch..!!

bora hawa waliamua kupiga kuch kuch katikati ya mechi
cheki pozi zoa ....!!

SIMBA YATWAA UBINGWA LIGI KUU YA VODACOM

koo zikiwakauka mashabiki wa simba baada ya kutangazwa ubingwa kabla ya ligi kwisha

Mussa Hassani Mgosi akimiliki mpira mbele ya beki wa Azam, Ibrahim Shikanda.


Wachezaji wa Simba wakishangilia bao lao la pili

Wachezaji wa timu ya Simba wakimbeba kocha wao Mzambia, Patrick Phiri baada ya mwamuzi wa mchezo kati ya timu hiyo na Azam, Ibrahim Kidiwa kutoka Tanga kumaliza pambano hilo lililofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam na Simba kutwaa rasmi ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuinyuka Azam FC kwa magoli 2-0 huku ikiwa imebakiza mechi mbili mkono moja ikiwa na Mtibwa Sugar na Nyingine dhidi ya mtani wake wa jadi Yanga.

habari na picha kwa hisani ya issamichuzi.blogspot.com


Mar 12, 2010

Nutritional Analysis

BANANA
Good points
* Very low in sodium
* High in dietary fiber
* High in vitamin C

 Bad points
  * Very high in sugar

 
APPLE
Good points
* Very low in saturated fat
* No cholesterol
* Very low in sodium
* High in dietary fiber
* High in vitamin C

Bad points
* Very high in sugar

 
ORANGE
 Good points
 * Very low in saturated fat
 * No cholesterol
 * No sodium
 * Very high in dietary fiber
 * High in potassium
 * High in thiamin
  *Very high in vitamin C

                                                       Bad points
                                                       * Very high in sugar

 

  MANGO
Good points
* Low in sodium
* Very high in vitamin A
* Very high in vitamin C

Bad points
* Very high in sugar


 
AVOCADOS
Good points
* No cholesterol
* Very low in sodium
* Low in sugar
* High in dietary fiber
* High in vitamin C




 
PUMPKIN
Good points
 * Low in saturated fat
 * No cholesterol
 * Very low in sodium
 * High in iron
 * High in manganese
 * High in magnesium
 * High in niacin
 * High in pantothenic acid
    * High in phosphorus
                                                        * Very high in potassium
                                                        * Very high in riboflavin
                                                        * High in thiamin
                                                    

Mar 11, 2010

2010 Laureus World Sports Awards Winners

Laureus World Sportsman of the Year
Usain Bolt

Athletics - Jamaica

Laureus World Sportswoman of the Year

Serena Williams

Tennis - United States

Laureus World Team of the Year
Brawn GP Formula One

Formula One - United Kingdom

Laureus World Breakthrough of the Year
Jenson Button

Formula One - United Kingdom

Laureus World Comeback of the Year
Kim Clijsters
Tennis - Belgium

Laureus World Sportsperson of the Year with a Disability
Natalie Du Toit

Swimming - South Africa

Laureus World Action Sportsperson of the Year
Stephanie Gilmore
Surfing - Australia

Laureus Sport for Good Award
Dikembe Mutombo
Basketball - United States

Laureus Lifetime Achievement Award
Nawal El Moutawakel
Athletics - Morocco

Mar 10, 2010

10 High Calorie Food

1. Popcorn:
Hot air popcorn turns an individual into a hot air balloon when butter and salt become the star of the show.

2. Rice Cake + Peanut Butter:
It's not the rice cake the dieter has need in fretting about - rather what goes on top of it. Most of us can get a little lost in our peanut butter jar, can't we?


3. Nuts:
A handful of nuts can weigh in heavily on the Calorie Scales, particularly with those having large hands. Measure out servings to keep fat and calories at a healthy level. And be proud of those large hands!


4. Side Salad + Dressing:
A simple healthy salad turns into a dieter's nightmare when grated cheese, croutons, bacon bits and full-blown salad dressing is added. Opt for lite to be light.


5. Cereal:
While cereal is a healthy grain, most individuals end up eating three or more servings due to the size of their bowls. And boxed cereal can be quite tasty, thus hard to resist. Another feature, is that we tend to link the finger-sized nuggets to our childhood, and the warm memories during those years.

6. Oatmeal:
At 150 calories per serving and with cholesterol-lowering powers, oatmeal is a great option for dieters. However, when butter, whole milk, refined white sugar and brown sugar are added, all those healthy benefits explode - as well as the innocent dieter.


7. Soups:
A cup of soup can turn a Lion-Sized Appetite into a gentle purr. However, when servings aren't kept in check and when soup comes in the form of a cream-base, grab your Diet Whip! Crackers, rolls, breads and other Soup Pals also tend to jack up the calories, particularly when butter comes calling once 'Soup's On!'


8. Sandwiches:
How to turn two slices of bread, a serving of lean meat and cheese, tomatoes and lettuce into a Sandwich from the wrong side of the Diet Road:

9. Baked Potato:
A little dab of butter, a splash of sour cream, a cup of cheese, some tasty bacon bits - and oh yes, I guess I should sprinkle on some broccoli for color. Talking about a stuffed spud - one that your healthy diet doesn't need.


10. Chocolate Skim Milk:
Just because the milk is skim doesn't excuse those chocolate calories - which can be ultra pricey when one likes their milk doubly chocolately

Mar 9, 2010

Grizzlies Recall Hasheem Thabeet from NBA Development League's Dakota Wizards


The Memphis Grizzlies recalled center Hasheem Thabeet from the Dakota Wizards, the team’s NBA Development League’s affiliate, Grizzlies General Manager and Vice President of Basketball Operations Chris Wallace announced today.


The second overall pick in the 2009 NBA Draft, Thabeet averaged a double-double with 13.8 points and 11.2 rebounds along with 3.17 blocks on 50.0 percent shooting in 31.3 minutes in six games (four starts) with Dakota after being assigned by the Grizzlies on Feb. 25.


The 7-3, 267-pound center, who led the Wizards to a 5-1 record, scored a D-League career-high 19 points on Feb. 28 at Fort Wayne and grabbed a personal-best 18 rebounds on March 5 at Tulsa.


The 23-year-old rookie is averaging 2.5 points, 2.9 rebounds and 1.16 blocks (second among first-year players) in 50 games with the Grizzlies.


source: http://www.nba.com/
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...