Dec 16, 2010

Forlan apewa Adidas Golden Ball


Mshambuliaji Diego Forlan wa Uruguay amekabidhiwa rasmi tuzo ya mchezaji bora wa Kombe la Dunia inayoitwa Adidas Golden Ball baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora katika Fainali za Kombe la Dunia zilizomalizika nchini Afrika Kusini.

Forlan alikabidhiwa tuzo hiyo na mchezaji mkongwe wa soka Franz Beckenbauer katika sherehe iliyofanyika nchini Ujerumani.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...