Feb 3, 2010

Mji mpya yang'aa Winome Cup

Timu ya soka ya Kata ya Mji Mpya juzi ilianza vizuri michuano ya Winome Salama Cup baada ya kuifunga kata ya Uwanja wa Taifa mabao 4-1 katika mchezo wa ufunguzi uliofanyika uwanja wa Jamhuri mjini hapa.

mji mpya ambayo ilionekana kujiamini na kuutawala mchezo huo, mabao yaliyowapa ushindi katika mechi hiyo yalifungwa na washambuliaji Juma Maboga na Keneth Emanuel ambao kila mmoja alifunga mabao mawili.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...