Feb 2, 2010

" man boobs" ni matiti ya kweli?

Tom Cruise - hata mastaa nao wana boobs

Kitu kimoja ambacho wanaume hawakiombei na wanakilaani ni kuota matiti kama vile wanawake. hili ni jambo la kufedhehesha kwao lakini amini usiamini ni jambo la kawaida na linatokea kwa wanaume wengi.

Man boobs yapo ya aina tatu:
  • Gynecomastia - kwenye hii aina boobs zinakuwa za ukweli kabisaaa maana yake matiti hayo yanakuwa yamecontain breast tissue. aina hii ni ngumu kutoweka kwa mazoezi au lishe yanaweza kuondoka kwa kufanyiwa upasuaji au dawa maalumu.
  • Pseudogynecomastia - hapa ni matiti yaliyo jaa mafuta pengine kwa sababu ya ulaji mbaya au uvivu wa mazoezi. haya si matiti ya kweli na yanaweza kukabiliwa na mazoezi na lishe bora.

  • aina ya tatu na ambayo inatokea kwa wanaume wengi ni ya matiti yaliyo na mchanganyiko wa breast tissue na mafuta. matibabu ya asili (mazoezi na lishe bora) kwa watu wenye aina hii ya matiti yanategemea mtu na mtu.


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...